Wednesday, June 12, 2013
HIZI NDO SABABU KUU ZA WANAWAKE WENGI KUVAA NUSU UCHI
HUYU NI MSANII AMANI AKITUMBUIZA HUKU NYETI ZAKE ZIKIWA WAZI
Wakati mwingne wanaume au watu tofauti hudhani kwamba, wanawake wanaovaa nusu uchi huwa wanafanya hivyo kwa sababu ya kutafuta soko kwa wanaume. Inawezekana kukawa na wale ambao wana sababu hizo, lakini wapo wale ambao wanalipa fidia kutokana na kuamini kwao kwamba wanamapungufu kwa mfano sura zao zimewaangusha, hivyo miguu yao mizuri inabidi kuziba pengo au udhaifu huo. Wakati mwingine hata wanawake wanaodhani au kudhaniwa kuwa ni wazuri, wamekuwa wakivaa nguo fupi zinazoonyesha maungo yao.Hawa nao ni lazima wanalipa fidia ya kasoro fulani waliyo nayo. Inawezekana wameshindwa...
WAFUMANIWA GUEST MUME WA MTU NA MKE WA MTU......DUUH BONGE LA AIBU
Hii Tabia ya Kutembea na Waume au Wake za Watu itaisha lini jamani?.
Mbona Wanaume Ma-Bachelor Wapo Kibao? Ukimwi Nao Je? Kuna Nini Huko
Katika Ndoa ???
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu umebaini kuwa siku hizi watu
wanaolewa au kuoa ili kuifurahisha jamii tu.
Ndoa zetu zimejaa usaliti wa kila hali.Chanzo cha maovu hayo ni tamaa ya
pesa, kutoridhika kimapenzi, ushawishi wa kupandishwa kazi na mambo
mengine kibao
=> USHAURI WANGU KWA WANAWAKE....
Kama mtu ana akili nzuri naamini atakuwa ni mwerevu. Nawasihi
wanawake ...
"SIKUENDA AFRIKA KUSINI KUJIUZA....PICHJA ZANGU ZILISAMBAA NIKIWA NIMELEWA"..AGNESS MASOGANGE
Anaweza
kuwa ndo video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki
on two videos pekee anabaki kuwa Video queen mwenye jina kubwa zaidi.
Siku
za karibuni amekuwa akimake headlines on social networks pia magazeti
baada ya video na picha zake chafu kusambaa on social networks,ni
imefanya nae Exclusive interview na kuongea ya moyoni kuhusu yote
yanayozungumzwa kumhusu. ''Me
cjui hizo picha zilisambaa vipi sababu izo picha zilikuwepo kwenye
camera yangu na mimi cku hiyo nilikuwa nimelewa, i was drunk sikuwa
naelewa chochote na nilikuwa south Africa kwa hiyo maswala ya kuandika
habari za uongo eti nimeenda...
AIBU...AIBU...AIBU SHUHUDIA PICHA ZA WASANII WETU WA BONGO WAKIFANYA MAPENZI VICHAKANI
Chipukizi wawili wa filamu za Kibongo, Tabasamu Mohamed na Neema Ibrahim, walikutwa ‘laivu’ wakifanya mambo ya chumbani hadharani.
Hili ni tukio la aina yake lililowahi tikisa bongo movie kati ya mwaka 2011/ 2012.......Tangu mwaka jana kumekuwa na mfumuko wa kasi kwa wasanii wa kibongo kupiga picha za utupu na kuzisambaza mitandaoni huku wengine wakijiuza live...!!!
SKENDO: HUYU NDIYE MWANAMKE ALIYEPOTEZA NYETI ZAKE MARA BAADA YA KUFAMANIWA AKILA URODA NA MUME WA MTU HUKO BUKOBA...!!
Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya kula uroda na
mwanaume katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na
pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma,baada ya
muda mama huyu
alijikuta baada ya umati kuwa mkubwa police walifika
maeneo ya tukio na kumchukua huyo mama,tunafanya...
HII NDO VIDEO YA MCHUNGAJI ALIYENASWA AKIMTOMASA MUUMINI WAKE..
KATIKA hali ya kushangaza , mchungaji mmoja
huko nchini Nigeria amejikuta akiaibika baada ya video yake aliyokuwa akimtomasa mwanamke wakati wa maombi kuvuja na
kusambaa kitika mitandao mbali mbali ya kijamii.
Video hiyo ilirekodiwa kwa kutumia kamera zilizokuwa zimetegeshwa kitika ofisi ya mchungaji huyo bila yeye kujua.
Subscribe to:
Posts (Atom)