HABARI ZILIZOPATIKANA SASA CLUB YA YANGA NAYO YAGOMA KWENDA DARFUR
Habari za kuaminika kutoka kwa chanzo
cha karibu na uongozi wa klabu wa Yanga ni kwamba mabingwa hao watetezi
wa kombe la Kagame hawatoenda kushiriki michuano hiyo mwaka huu
iliyopangwa kuanza hivi karibuni huko Darfur Sudan.
No comments:
Post a Comment