Wednesday, June 12, 2013
WAFUMANIWA GUEST MUME WA MTU NA MKE WA MTU......DUUH BONGE LA AIBU
Hii Tabia ya Kutembea na Waume au Wake za Watu itaisha lini jamani?.
Mbona Wanaume Ma-Bachelor Wapo Kibao? Ukimwi Nao Je? Kuna Nini Huko
Katika Ndoa ???
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu umebaini kuwa siku hizi watu
wanaolewa au kuoa ili kuifurahisha jamii tu.
Ndoa zetu zimejaa usaliti wa kila hali.Chanzo cha maovu hayo ni tamaa ya
pesa, kutoridhika kimapenzi, ushawishi wa kupandishwa kazi na mambo
mengine kibao
=> USHAURI WANGU KWA WANAWAKE....
Kama mtu ana akili nzuri naamini atakuwa ni mwerevu. Nawasihi
wanawake ...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment