Wednesday, June 12, 2013
"SIKUENDA AFRIKA KUSINI KUJIUZA....PICHJA ZANGU ZILISAMBAA NIKIWA NIMELEWA"..AGNESS MASOGANGE
Anaweza
kuwa ndo video queen hot&sexy zaidi Bongo na ingawa ameshiriki
on two videos pekee anabaki kuwa Video queen mwenye jina kubwa zaidi.
Siku
za karibuni amekuwa akimake headlines on social networks pia magazeti
baada ya video na picha zake chafu kusambaa on social networks,ni
imefanya nae Exclusive interview na kuongea ya moyoni kuhusu yote
yanayozungumzwa kumhusu. ''Me
cjui hizo picha zilisambaa vipi sababu izo picha zilikuwepo kwenye
camera yangu na mimi cku hiyo nilikuwa nimelewa, i was drunk sikuwa
naelewa chochote na nilikuwa south Africa kwa hiyo maswala ya kuandika
habari za uongo eti nimeenda...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment