M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake
kipenzi mangwea hapa mjini morogoro katika viwanja vya jamuhuri.. ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa
ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea....!!
Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea
alikuwa ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza
ukweli......
...
No comments:
Post a Comment